2 Samweli 15:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sasa Absalomu akatuma wapelelezi+ katika nchi yote ya Israeli, akisema: “Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, ninyi pia mseme, ‘Absalomu amekuwa mfalme+ katika Hebroni!’”+ 1 Wafalme 1:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Na Sadoki kuhani na Nathani nabii wamtie mafuta+ huko awe mfalme juu ya Israeli; nanyi pigeni baragumu+ na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi!’+
10 Sasa Absalomu akatuma wapelelezi+ katika nchi yote ya Israeli, akisema: “Mara mtakaposikia sauti ya baragumu, ninyi pia mseme, ‘Absalomu amekuwa mfalme+ katika Hebroni!’”+
34 Na Sadoki kuhani na Nathani nabii wamtie mafuta+ huko awe mfalme juu ya Israeli; nanyi pigeni baragumu+ na kusema, ‘Mfalme Sulemani na aishi!’+