Ayubu 20:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwamba kilio cha shangwe cha watu waovu ni kifupi+Na kushangilia kwa mwasi-imani ni kwa kitambo kidogo? Zaburi 73:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakika unawaweka kwenye udongo unaoteleza.+Umewafanya waanguke kwenye uharibifu.+ Mika 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+ Mathayo 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Yeyote yule anayejiinua atanyenyekezwa,+ na yeyote yule anayejinyenyekeza atainuliwa.+
5 Kwamba kilio cha shangwe cha watu waovu ni kifupi+Na kushangilia kwa mwasi-imani ni kwa kitambo kidogo?
6 Kwa maana mwana anamdharau baba, binti anasimama kumpinga mama yake;+ binti-mkwe kumpinga mama-mkwe wake;+ adui za mtu ni watu wa nyumba yake.+