Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Njia yao na iwe giza na mahali penye kuteleza,+

      Naye malaika wa Yehova na awe akiwafuatilia.

  • Zaburi 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana waovu wataangamia,+

      Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;

      Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+

  • Yeremia 23:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kwa hiyo njia yao itakuwa kwao kama mahali penye utelezi+ gizani, ambapo watasukumwa ndani yake na hakika waanguke.”+

      “Kwa maana nitaleta msiba juu yao, mwaka wa kuwakazia fikira,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki