Zaburi 35:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Njia yao na iwe giza na mahali penye kuteleza,+Naye malaika wa Yehova na awe akiwafuatilia. Zaburi 37:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana waovu wataangamia,+Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+ Yeremia 23:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Kwa hiyo njia yao itakuwa kwao kama mahali penye utelezi+ gizani, ambapo watasukumwa ndani yake na hakika waanguke.”+ “Kwa maana nitaleta msiba juu yao, mwaka wa kuwakazia fikira,”+ asema Yehova.
20 Kwa maana waovu wataangamia,+Nao adui za Yehova watakuwa kama malisho bora;Lazima wao waufikie mwisho wao.+ Katika moshi lazima waufikie mwisho wao.+
12 “Kwa hiyo njia yao itakuwa kwao kama mahali penye utelezi+ gizani, ambapo watasukumwa ndani yake na hakika waanguke.”+ “Kwa maana nitaleta msiba juu yao, mwaka wa kuwakazia fikira,”+ asema Yehova.