Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Njia yao na iwe giza na mahali penye kuteleza,+

      Naye malaika wa Yehova na awe akiwafuatilia.

  • Zaburi 73:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Hakika unawaweka kwenye udongo unaoteleza.+

      Umewafanya waanguke kwenye uharibifu.+

  • Methali 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Njia ya waovu ni kama giza;+ hawajui ni nini kinachoendelea kuwakwaza.+

  • Yeremia 13:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Mpeni Yehova Mungu wenu utukufu,+ kabla hajaleta giza+ na kabla miguu yenu haijagongana juu ya milima wakati wa jioni.+ Nanyi hakika mtaitumaini nuru,+ naye kwa kweli ataifanya iwe kivuli kizito;+ ataigeuza iwe giza zito.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki