Zaburi 35:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Njia yao na iwe giza na mahali penye kuteleza,+Naye malaika wa Yehova na awe akiwafuatilia. Zaburi 73:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hakika unawaweka kwenye udongo unaoteleza.+Umewafanya waanguke kwenye uharibifu.+ Methali 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Njia ya waovu ni kama giza;+ hawajui ni nini kinachoendelea kuwakwaza.+ Yeremia 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mpeni Yehova Mungu wenu utukufu,+ kabla hajaleta giza+ na kabla miguu yenu haijagongana juu ya milima wakati wa jioni.+ Nanyi hakika mtaitumaini nuru,+ naye kwa kweli ataifanya iwe kivuli kizito;+ ataigeuza iwe giza zito.+
16 Mpeni Yehova Mungu wenu utukufu,+ kabla hajaleta giza+ na kabla miguu yenu haijagongana juu ya milima wakati wa jioni.+ Nanyi hakika mtaitumaini nuru,+ naye kwa kweli ataifanya iwe kivuli kizito;+ ataigeuza iwe giza zito.+