Yoshua 7:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ndipo Yoshua akamwambia Akani: “Tafadhali, mwanangu, mpe Yehova Mungu wa Israeli utukufu+ na uungame kwake,+ tafadhali niambie,+ Umefanya nini? Usinifiche+ jambo hili.” Zaburi 96:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mhesabieni Yehova, enyi familia za vikundi vya watu,+Mhesabieni Yehova utukufu na nguvu.+
19 Ndipo Yoshua akamwambia Akani: “Tafadhali, mwanangu, mpe Yehova Mungu wa Israeli utukufu+ na uungame kwake,+ tafadhali niambie,+ Umefanya nini? Usinifiche+ jambo hili.”