12 Je, waliona aibu kwa sababu walikuwa wamefanya chukizo?+ Jambo moja ni kwamba hakika hawakuweza kuona aibu; jambo lingine ni kwamba hawakujua namna ya kufedheheka.+
“‘Kwa hiyo wataanguka katikati ya wale wanaoanguka. Katika wakati wa kuwakazia fikira,+ watajikwaa,’ Yehova amesema.+