21 Na zaidi, askari-jeshi wake waliokodiwa walio katikati yake ni kama ndama waliononeshwa.+ Lakini wao pia wamerudi nyuma;+ wamekimbia pamoja. Hawakusimama.+ Kwa maana ile siku ya msiba wao imekuja juu yao, wakati wa kuwakazia fikira.’+
4 Mtu aliye bora zaidi kwao ni kama mchongoma, aliye mnyoofu zaidi kwao ni mbaya kuliko ukuta wa miiba.+ Siku ya walinzi wako, siku yenu ya kukaziwa fikira, itakuja.+ Sasa kuhangaishwa kwao kutatokea.+
44 nao watakuangusha chini wewe na watoto wako walio ndani yako,+ nao hawataacha jiwe juu ya jiwe+ ndani yako, kwa sababu hukufahamu wakati wa kukaguliwa kwako.”+