Mathayo 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+ Marko 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, Yesu akamwambia: “Unayaona majengo haya makubwa?+ Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe+ nalo lisiangushwe chini.”+ Luka 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 akasema: “Vitu hivi ambavyo ninyi mnaviona, siku zitakuja ambapo hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+
2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+
2 Hata hivyo, Yesu akamwambia: “Unayaona majengo haya makubwa?+ Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe+ nalo lisiangushwe chini.”+
6 akasema: “Vitu hivi ambavyo ninyi mnaviona, siku zitakuja ambapo hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+