Mambo ya Walawi 26:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+ Mathayo 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+ Luka 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 akasema: “Vitu hivi ambavyo ninyi mnaviona, siku zitakuja ambapo hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+
31 Nami nitayatia majiji yenu kwenye upanga+ na kufanya ukiwa patakatifu penu,+ wala sitanusa harufu zenu za kutuliza.+
2 Akajibu, akawaambia: “Je, hamvioni vitu vyote hivi? Kwa kweli ninawaambia ninyi, Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+
6 akasema: “Vitu hivi ambavyo ninyi mnaviona, siku zitakuja ambapo hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe nalo lisiangushwe chini.”+