Zaburi 74:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wamepatupa ndani ya moto patakatifu pako.+Wametia unajisi maskani ya jina lako mpaka chini.+ Yeremia 52:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+ Maombolezo 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Adui amenyoosha mkono wake juu ya vitu vyake vyote vyenye kutamanika.+Kwa maana ameona mataifa ambayo yameingia katika patakatifu pake,+Ambayo uliamuru kwamba wasiingie katika kutaniko lako. Marko 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Hata hivyo, Yesu akamwambia: “Unayaona majengo haya makubwa?+ Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe+ nalo lisiangushwe chini.”+
13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+
10 Adui amenyoosha mkono wake juu ya vitu vyake vyote vyenye kutamanika.+Kwa maana ameona mataifa ambayo yameingia katika patakatifu pake,+Ambayo uliamuru kwamba wasiingie katika kutaniko lako.
2 Hata hivyo, Yesu akamwambia: “Unayaona majengo haya makubwa?+ Hakuna jiwe litakaloachwa hapa juu ya jiwe+ nalo lisiangushwe chini.”+