Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo akaleta juu yao mfalme wa Wakaldayo,+ ambaye aliwaua vijana wao kwa upanga+ katika nyumba ya patakatifu pao,+ wala hakumhurumia kijana wala bikira, mzee wala mkongwe.+ Kila kitu Yeye alikitia mkononi mwake.

  • Zaburi 74:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wamepatupa ndani ya moto patakatifu pako.+

      Wametia unajisi maskani ya jina lako mpaka chini.+

  • Zaburi 79:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 79 Ee Mungu, mataifa yameingia katika urithi wako;+

      Wamelitia unajisi hekalu lako takatifu;+

      Wamefanya Yerusalemu kuwa rundo la mabomoko.+

  • Isaya 63:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa muda kidogo watu wako watakatifu+ walikuwa na miliki. Adui zetu wenyewe wamepakanyaga patakatifu pako.+

  • Isaya 64:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Nyumba yetu ya utakatifu na uzuri,+ ambayo ndani yake mababu zetu walikusifu wewe,+ imekuwa kitu cha kuteketezwa motoni;+ na kila kimoja cha vitu vyetu vyenye kutamanika+ kimeharibika.

  • Yeremia 52:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Naye akaiteketeza nyumba ya Yehova+ na nyumba ya mfalme na nyumba zote za Yerusalemu;+ na kila nyumba kubwa akaiteketeza kwa moto.+

  • Ezekieli 7:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 “ ‘Nami nitaugeuzia mbali uso wangu kutoka kwao,+ nao watapatia unajisi mahali pangu palipofichika, na wanyang’anyi wataingia ndani yake kwelikweli na kupatia unajisi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki