19 Naye akaiteketeza nyumba ya Mungu wa kweli+ na kuubomoa ukuta+ wa Yerusalemu; na minara yake yote ya makao wakaiteketeza kwa moto na pia vyombo vyake vyote vyenye kutamanika,+ ili kufanya uharibifu.+
11 Nyumba yetu ya utakatifu na uzuri,+ ambayo ndani yake mababu zetu walikusifu wewe,+ imekuwa kitu cha kuteketezwa motoni;+ na kila kimoja cha vitu vyetu vyenye kutamanika+ kimeharibika.