Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hosea 9:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Siku za kukaziwa fikira zitakuja;+ siku za malipo yanayostahili zitakuja.+ Watu wa Israeli watajua habari hiyo.+ Nabii atakuwa mpumbavu,+ mtu wa neno lililoongozwa na roho atatiwa wazimu kwa sababu ya wingi wa makosa yako,+ hata uadui kuwa mwingi.”

  • Mika 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mtu aliye bora zaidi kwao ni kama mchongoma, aliye mnyoofu zaidi kwao ni mbaya kuliko ukuta wa miiba.+ Siku ya walinzi wako, siku yenu ya kukaziwa fikira, itakuja.+ Sasa kuhangaishwa kwao kutatokea.+

  • Luka 1:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 “Na abarikiwe Yehova Mungu wa Israeli,+ kwa sababu ameelekeza uangalifu wake na kufanya ukombozi+ kuelekea watu wake.+

  • 1 Petro 2:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Dumisheni mwenendo wenu ukiwa mzuri katikati ya mataifa,+ ili, katika jambo ambalo wanasema juu yenu ya kuwa ninyi ni watenda-maovu, waweze, likiwa tokeo la matendo yenu mazuri+ ambayo wameshuhudia kwa macho, kumtukuza Mungu katika siku ya ukaguzi wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki