Isaya 44:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Ninazitangua ishara za wenye kuongea maneno matupu, na ni mimi anayewafanya waaguzi watende kiwazimu;+ Yule anayewageuza watu wenye hekima warudi nyuma, na Yule anayeugeuza ujuzi wao kuwa upumbavu;+ Yeremia 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+
25 Ninazitangua ishara za wenye kuongea maneno matupu, na ni mimi anayewafanya waaguzi watende kiwazimu;+ Yule anayewageuza watu wenye hekima warudi nyuma, na Yule anayeugeuza ujuzi wao kuwa upumbavu;+
14 Nao wanajaribu kuponya kijuujuu kuvunjika kwa watu wangu,+ wakisema, ‘Kuna amani! Kuna amani!’ wakati hakuna amani.+