Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 15:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+

  • Isaya 29:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 kwa hiyo, tazama, mimi hapa, yule Mmoja atakayekitendea tena kikundi hiki cha watu kwa njia ya ajabu,+ kwa njia ya ajabu na kwa jambo la ajabu; na hekima ya watu wao wenye hekima itaangamia, na uelewaji wa watu wao wenye busara utajificha.”+

  • 1 Wakorintho 1:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa maana imeandikwa: “Nitaiangamiza hekima ya watu wenye hekima,+ na akili ya watu wenye akili+ nitaitupa kando.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki