31 Na Daudi akaletewa habari, iliyosema: “Ahithofeli yupo kati ya wale wanaopanga hila+ na Absalomu.”+ Ndipo Daudi akasema:+ “Tafadhali, Ee Yehova,+ badili shauri la Ahithofeli liwe upumbavu!”+
14 kwa hiyo, tazama, mimi hapa, yule Mmoja atakayekitendea tena kikundi hiki cha watu kwa njia ya ajabu,+ kwa njia ya ajabu na kwa jambo la ajabu; na hekima ya watu wao wenye hekima itaangamia, na uelewaji wa watu wao wenye busara utajificha.”+