Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+ Zaburi 55:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana sikushutumiwa na adui;+Kama ndivyo ningaliweza kuvumilia hilo.Si mtu anayenichukia vikali aliyejivuna sana dhidi yangu;+Kama ndivyo ningaliweza kujificha kutoka kwake.+ Mathayo 26:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 na kusema: “Mtanipa nini ili nimsaliti kwenu?”+ Wakamwagizia vipande 30 vya fedha.+ Yohana 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+
9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+
12 Kwa maana sikushutumiwa na adui;+Kama ndivyo ningaliweza kuvumilia hilo.Si mtu anayenichukia vikali aliyejivuna sana dhidi yangu;+Kama ndivyo ningaliweza kujificha kutoka kwake.+
18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+