Zaburi 35:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+ Zaburi 38:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+ Mathayo 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walipokuwa wakila, alisema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu atanisaliti.”+
26 Na waone aibu na kufedheheka wote pamoja+Wanaoshangilia msiba wangu.+Na wavikwe aibu+ na fedheha wale wanaojivuna sana dhidi yangu.+
16 Kwa maana nilisema: “Kama sivyo watashangilia kwa sababu yangu;+Mguu wangu uliposonga kwa kuyumba-yumba,+ hakika walijivuna sana dhidi yangu.”+