Marko 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu, anayekula+ pamoja nami, atanisaliti.”+ Yohana 6:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Yesu akawajibu: “Niliwachagua ninyi kumi na wawili,+ sivyo? Lakini mmoja wenu ni mchongezi.”+ Yohana 13:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Baada ya kusema hayo, Yesu akataabika rohoni, naye akatoa ushahidi na kusema: “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mmoja wenu atanisaliti.”+
18 Na walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu, anayekula+ pamoja nami, atanisaliti.”+
21 Baada ya kusema hayo, Yesu akataabika rohoni, naye akatoa ushahidi na kusema: “Kwa kweli kabisa ninawaambia ninyi, Mmoja wenu atanisaliti.”+