Mathayo 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Walipokuwa wakila, alisema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu atanisaliti.”+ Marko 14:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Na walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu, anayekula+ pamoja nami, atanisaliti.”+ Luka 22:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Lakini, tazameni! mkono wa msaliti+ wangu upo pamoja nami mezani.+ Yohana 6:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Yesu akawajibu: “Niliwachagua ninyi kumi na wawili,+ sivyo? Lakini mmoja wenu ni mchongezi.”+ Matendo 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+
18 Na walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu, anayekula+ pamoja nami, atanisaliti.”+
16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+