Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Walipokuwa wakila, alisema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu atanisaliti.”+

  • Marko 14:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na walipokuwa wameketi mezani wakila, Yesu akasema: “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Mmoja wenu, anayekula+ pamoja nami, atanisaliti.”+

  • Luka 22:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Lakini, tazameni! mkono wa msaliti+ wangu upo pamoja nami mezani.+

  • Yohana 6:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Yesu akawajibu: “Niliwachagua ninyi kumi na wawili,+ sivyo? Lakini mmoja wenu ni mchongezi.”+

  • Matendo 1:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Wanaume, akina ndugu, ilikuwa lazima andiko litimizwe,+ ambalo roho takatifu+ ilisema kimbele kwa kinywa cha Daudi kumhusu Yuda,+ aliyekuwa kiongozi kwa wale waliomkamata Yesu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki