Luka 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Shetani akamwingia Yuda, anayeitwa Iskariote, ambaye alihesabiwa kati ya wale kumi na wawili;+ Yohana 13:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+
3 Lakini Shetani akamwingia Yuda, anayeitwa Iskariote, ambaye alihesabiwa kati ya wale kumi na wawili;+
18 Mimi sisemi juu yenu nyote; ninawajua wale ambao nimewachagua.+ Lakini ni ili Andiko lipate kutimizwa,+ ‘Yule aliyekuwa akila mkate wangu amekiinua kisigino chake dhidi yangu.’+