Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 26:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Ndipo mmoja wa wale kumi na wawili, anayeitwa Yuda Iskariote,+ akaenda kwa wakuu wa makuhani

  • Marko 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Na Yuda Iskariote, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda zake kwa wakuu wa makuhani ili amsaliti kwao.+

  • Yohana 6:70
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 70 Yesu akawajibu: “Niliwachagua ninyi kumi na wawili,+ sivyo? Lakini mmoja wenu ni mchongezi.”+

  • Yohana 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+

  • Yohana 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.”

  • Matendo 1:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 kwa sababu alikuwa amehesabiwa kati yetu+ naye alipata fungu katika huduma hii.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki