Mathayo 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo mmoja wa wale kumi na wawili, anayeitwa Yuda Iskariote,+ akaenda kwa wakuu wa makuhani Marko 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na Yuda Iskariote, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda zake kwa wakuu wa makuhani ili amsaliti kwao.+ Yohana 6:70 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 70 Yesu akawajibu: “Niliwachagua ninyi kumi na wawili,+ sivyo? Lakini mmoja wenu ni mchongezi.”+ Yohana 13:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+ Yohana 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.” Matendo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 kwa sababu alikuwa amehesabiwa kati yetu+ naye alipata fungu katika huduma hii.+
10 Na Yuda Iskariote, mmoja wa wale kumi na wawili, akaenda zake kwa wakuu wa makuhani ili amsaliti kwao.+
2 Kwa hiyo, mlo wa jioni ulipokuwa ukiendelea, Ibilisi akiwa tayari ameweka ndani ya moyo wa Yuda Iskariote,+ mwana wa Simoni, amsaliti,+
27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.”