Luka 6:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 na Yuda mwana wa Yakobo, na Yuda Iskariote, aliyegeuka kuwa msaliti.+ Yohana 6:71 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 71 Kwa kweli, alikuwa akisema juu ya Yuda mwana wa Simoni Iskariote; kwa maana huyu alikuwa karibu kumsaliti,+ ajapokuwa mmoja wa wale kumi na wawili.
71 Kwa kweli, alikuwa akisema juu ya Yuda mwana wa Simoni Iskariote; kwa maana huyu alikuwa karibu kumsaliti,+ ajapokuwa mmoja wa wale kumi na wawili.