Mathayo 15:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+ Luka 22:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini Shetani akamwingia Yuda, anayeitwa Iskariote, ambaye alihesabiwa kati ya wale kumi na wawili;+ Yohana 13:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.” Matendo 1:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 achukue mahali pa huduma na utume+ huu, ambao kutoka kwake Yuda alikengeuka ili kwenda mahali pake mwenyewe.”
19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+
3 Lakini Shetani akamwingia Yuda, anayeitwa Iskariote, ambaye alihesabiwa kati ya wale kumi na wawili;+
27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.”
25 achukue mahali pa huduma na utume+ huu, ambao kutoka kwake Yuda alikengeuka ili kwenda mahali pake mwenyewe.”