Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 15:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa mfano, mawazo mabaya hutoka moyoni,+ mauaji, uzinzi, uasherati, wizi, ushuhuda wa uwongo, makufuru.+

  • Luka 22:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini Shetani akamwingia Yuda, anayeitwa Iskariote, ambaye alihesabiwa kati ya wale kumi na wawili;+

  • Yohana 13:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na baada ya hilo tonge ndipo Shetani akaingia ndani ya huyo.+ Kwa hiyo, Yesu akamwambia: “Lile unalofanya lifanye upesi zaidi.”

  • Matendo 1:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 achukue mahali pa huduma na utume+ huu, ambao kutoka kwake Yuda alikengeuka ili kwenda mahali pake mwenyewe.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki