Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na Yehova akaanza kunusa harufu ya kutuliza,+ na kwa hiyo Yehova akasema moyoni mwake:+ “Sitailaani nchi+ tena kamwe kwa sababu ya mwanadamu, kwani mwelekeo+ wa moyo wa mwanadamu ni mbaya tangu ujana wake na kuendelea;+ nami sitakipiga tena kamwe kila kitu chenye uhai kama vile nilivyofanya.+

  • Kumbukumbu la Torati 15:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Jiangalie neno baya lisije likawa moyoni mwako,+ na kusema, ‘Mwaka wa saba, mwaka wa kuachilia huru, umekaribia,’+ nalo jicho lako likose ukarimu kumwelekea ndugu yako aliye maskini,+ nawe usimpe chochote, naye amlilie Yehova juu yako,+ nayo iwe dhambi kwako.+

  • Methali 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Upotovu umo moyoni mwake.+ Anatunga jambo baya wakati wote.+ Huendelea kutokeza ugomvi.+

  • Yeremia 17:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 “Moyo ni wenye hila kuliko kitu kingine chochote nao ni hatari.+ Ni nani anayeweza kuujua?

  • Waroma 1:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Na kama vile ambavyo hawakukubali kumjua Mungu katika ujuzi sahihi,+ Mungu aliwaacha katika hali ya akili iliyokataliwa,+ ili wafanye mambo yasiyofaa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki