Methali 16:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Mtu mwenye hila huendelea kutokeza ugomvi nyakati zote,+ na mchongezi anawatenganisha wale wanaofahamiana.+ Waroma 16:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko+ na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho+ ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+ Wagalatia 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,
28 Mtu mwenye hila huendelea kutokeza ugomvi nyakati zote,+ na mchongezi anawatenganisha wale wanaofahamiana.+
17 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko+ na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho+ ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+
20 ibada ya sanamu, mazoea ya kuwasiliana na pepo,+ uadui, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, magomvi, migawanyiko, madhehebu,