Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 3:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Basi nyoka+ alikuwa mwenye kujihadhari+ kuliko wanyama wote wa mwituni ambao Yehova Mungu alikuwa amewafanya.+ Kwa hiyo akaanza kumwambia mwanamke:+ “Je, ni kweli kwamba Mungu alisema msile matunda ya kila mti wa bustani?”+

  • 1 Samweli 24:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na Daudi akaendelea kumwambia Sauli: “Kwa nini unayasikiliza maneno ya watu,+ wakisema, ‘Tazama! Daudi anatafuta kukudhuru’?

  • Methali 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Maneno ya mchongezi ni kama vitu vya kumezwa kwa pupa,+ vinavyoingia katika sehemu za ndani kabisa za tumbo.+

  • Waroma 16:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Sasa nawahimiza ninyi, akina ndugu, waangalieni wale wanaosababisha migawanyiko+ na kusababisha kukwazika kinyume cha fundisho+ ambalo mmejifunza, nanyi mjiepushe nao.+

  • 2 Wakorintho 12:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana naogopa kwamba kwa njia fulani, nitakapofika,+ huenda nikawapata ninyi mkiwa vile ambavyo mimi sipendi nami niwe kwenu vile ambavyo ninyi hampendi, bali, badala yake, kwa njia fulani inaelekea kutakuwa na mizozo, wivu,+ milipuko ya hasira, magomvi, masengenyo, manong’onezo, majivuno, machafuko.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki