Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 19:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “‘Usizunguke katikati ya watu wako ili kuchongea.+ Usisimame dhidi ya damu ya mwenzako.+ Mimi ni Yehova.

  • 1 Samweli 26:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na sasa, tafadhali, bwana wangu mfalme na ayasikilize maneno ya mtumishi wake: Ikiwa ni Yehova aliyekuchochea juu yangu, na anuse harufu ya toleo la nafaka.+ Lakini ikiwa ni wanadamu,+ wamelaaniwa mbele za Yehova,+ kwa sababu leo wamenifukuza nisione kuwa nimeshikamana na urithi wa Yehova,+ wakisema, ‘Nenda, tumikia miungu mingine!’+

  • Zaburi 101:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Yeyote anayemchongea mwenzake kwa siri,+

      Huyo ninamnyamazisha.+

      Yeyote mwenye macho yenye kiburi na mwenye moyo wa majivuno,+

      Huyo siwezi kumvumilia.+

  • Methali 16:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Mtu mwenye hila huendelea kutokeza ugomvi nyakati zote,+ na mchongezi anawatenganisha wale wanaofahamiana.+

  • Methali 17:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mtenda-maovu anasikiliza kwa makini mdomo wenye madhara.+ Mwongo anatega sikio asikilize ulimi unaotokeza shida.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki