Mathayo 25:45 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 45 Ndipo atawajibu wao kwa maneno haya, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo hamkumtendea hilo mmoja wa hawa wadogo zaidi,+ hamkunitendea+ mimi.’+ Yakobo 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa hiyo, ikiwa mtu anajua jinsi ya kufanya yaliyo sawa na bado hayafanyi,+ hiyo ni dhambi+ kwake.
45 Ndipo atawajibu wao kwa maneno haya, ‘Kwa kweli ninawaambia ninyi, Kwa kadiri ambayo hamkumtendea hilo mmoja wa hawa wadogo zaidi,+ hamkunitendea+ mimi.’+
17 Kwa hiyo, ikiwa mtu anajua jinsi ya kufanya yaliyo sawa na bado hayafanyi,+ hiyo ni dhambi+ kwake.