Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 35:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Kwa maana hawasemi mambo ya amani;+

      Bali juu ya wanyamavu wa dunia

      Wanaendelea kupanga mambo ya udanganyifu.+

  • Zaburi 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  4 Yeye anaendelea kupanga hila ya kuumiza kitandani mwake.+

      Husimama katika njia isiyo nzuri.+

      Hakatai lililo baya.+

  • Methali 6:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 moyo unaotunga hila zenye kuumiza,+ miguu iliyo myepesi kukimbilia ubaya,+

  • Isaya 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye mtu asiye na msimamo, vyombo vyake ni vibaya;+ yeye ametoa shauri kwa ajili ya matendo ya mwenendo mpotovu,+ kuwavunja wenye kuteseka kwa maneno ya uwongo,+ hata maskini anaposema jambo lililo haki.

  • Mika 2:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Ole wao wanaopanga mambo yenye kudhuru, na wale wanaozoea kufanya lililo baya, vitandani mwao!+ Wao hulifanya kwenye nuru ya asubuhi,+ kwa sababu hilo liko katika uwezo wa mikono yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki