26 “‘Kwa maana watu waovu wamepatikana kati ya watu wangu.+ Wanaendelea kukaza macho, kama wakati wawindaji wa ndege wanapochutama.+ Wameweka mtego wenye kuharibu. Wao wanawanasa watu.
3 Mikono yao iko juu ya lililo baya, ili kulifanya vema;+ mkuu anaomba kitu, naye mwenye kuhukumu hufanya hivyo ili kupata thawabu,+ na mkubwa anasema tamaa iliyo katika nafsi yake mwenyewe;+ nao huisokota.