5 Je, mtu anapaswa kufungia kinyongo mpaka wakati usio na kipimo, au kuendelea kuangalia jambo milele?’+ Tazama! Umesema, nawe ukaendelea kufanya mambo mabaya na kupata ushindi.”+
22 Kwa maana watu wangu ni wapumbavu.+ Hawanijali mimi.+ Wao ni wana wasio na hekima; nao si wale walio na uelewaji.+ Wana hekima ya kutenda mabaya, lakini kwa kweli hawajui kutenda mema.+