Isaya 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+ Ezekieli 19:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Nawe, imba wimbo wa huzuni+ kuhusu wakuu wa Israeli,+ Mika 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Nami nikasema: “Tafadhali sikieni, ninyi vichwa vya Yakobo na ninyi viongozi wa nyumba ya Israeli.+ Je, si wajibu wenu kujua haki?+ Sefania 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+
23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+
3 Nami nikasema: “Tafadhali sikieni, ninyi vichwa vya Yakobo na ninyi viongozi wa nyumba ya Israeli.+ Je, si wajibu wenu kujua haki?+
3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+