Methali 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+ Isaya 1:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+
15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+
23 Wakuu wako ni wakaidi na rafiki za wezi.+ Kila mmoja wao ni mwenye kupenda rushwa+ na mwenye kufuatilia zawadi.+ Hawamtendei hukumu mvulana asiye na baba; na hata kesi ya mjane haiwafikii.+