Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 22:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Kwa hiyo mfalme akawaambia wakimbiaji+ waliokuwa wamesimama kumzunguka: “Geukeni, mkawaue makuhani wa Yehova, kwa sababu mkono wao pia uko pamoja na Daudi na kwa sababu walijua kwamba yeye ni mkimbizi wala hawakunifunulia habari hiyo!”+ Lakini wale watumishi wa mfalme hawakutaka kunyoosha mkono wao ili kuwashambulia makuhani wa Yehova.+

  • Methali 29:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Waadilifu wanapokuwa wengi, watu hushangilia;+ lakini mtu yeyote mwovu anapotawala, watu huugua.+

  • Sefania 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakuu wake katikati yake walikuwa simba wanaonguruma.+ Waamuzi wake walikuwa mbwa-mwitu wa jioni ambao hawakutafuna mifupa mpaka asubuhi.+

  • Mathayo 2:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Ndipo Herode, alipoona ameshindwa akili na wale wanajimu, akaingiwa na ghadhabu kubwa, akatuma watu na kuagiza wavulana wote katika Bethlehemu na katika wilaya zake zote wauawe, kuanzia umri wa miaka miwili kwenda chini, kulingana na wakati aliokuwa amehakikisha kwa uangalifu kutoka kwa wale wanajimu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki