Esta 3:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wajumbe hao wakaondoka, wakaenda haraka+ kwa sababu ya neno la mfalme, na sheria hiyo ikatolewa katika ngome ya Shushani.+ Naye mfalme pamoja na Hamani wakaketi ili kunywa;+ bali jiji la Shushani+ likavurugika.+ Methali 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+
15 Wajumbe hao wakaondoka, wakaenda haraka+ kwa sababu ya neno la mfalme, na sheria hiyo ikatolewa katika ngome ya Shushani.+ Naye mfalme pamoja na Hamani wakaketi ili kunywa;+ bali jiji la Shushani+ likavurugika.+
15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+