Zaburi 77:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Je, Yehova ataendelea kutupa mpaka nyakati zisizo na kipimo,+Na je, hatapendezwa tena kamwe?+ Zaburi 103:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hataendelea kutafuta makosa wakati wote,+Wala hataendelea kuweka kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+ Isaya 57:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana sitashindana mpaka wakati usio na kipimo, wala sitakuwa na ghadhabu daima;+ kwa maana roho itafifia+ kwa sababu yangu, viumbe vinavyopumua ambavyo mimi mwenyewe nimevifanya.+ Isaya 64:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Usiwe na ghadhabu kupindukia,+ Ee Yehova, wala usilikumbuke milele kosa letu.+ Tazama, sasa, tafadhali: sisi sote ni watu wako.+
9 Yeye hataendelea kutafuta makosa wakati wote,+Wala hataendelea kuweka kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+
16 Kwa maana sitashindana mpaka wakati usio na kipimo, wala sitakuwa na ghadhabu daima;+ kwa maana roho itafifia+ kwa sababu yangu, viumbe vinavyopumua ambavyo mimi mwenyewe nimevifanya.+
9 Usiwe na ghadhabu kupindukia,+ Ee Yehova, wala usilikumbuke milele kosa letu.+ Tazama, sasa, tafadhali: sisi sote ni watu wako.+