Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 77:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Je, Yehova ataendelea kutupa mpaka nyakati zisizo na kipimo,+

      Na je, hatapendezwa tena kamwe?+

  • Zaburi 103:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Yeye hataendelea kutafuta makosa wakati wote,+

      Wala hataendelea kuweka kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+

  • Isaya 57:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa maana sitashindana mpaka wakati usio na kipimo, wala sitakuwa na ghadhabu daima;+ kwa maana roho itafifia+ kwa sababu yangu, viumbe vinavyopumua ambavyo mimi mwenyewe nimevifanya.+

  • Isaya 64:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Usiwe na ghadhabu kupindukia,+ Ee Yehova, wala usilikumbuke milele kosa letu.+ Tazama, sasa, tafadhali: sisi sote ni watu wako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki