Hesabu 16:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo wakaanguka kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho za kila namna ya mwili,+ je, mtu mmoja tu atatenda dhambi nawe ulikasirikie kusanyiko lote?”+ Ayubu 34:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Akikaza moyo wake juu ya mtu yeyote,Akijikusanyia kwake roho na pumzi ya mtu huyo,+ Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+
22 Ndipo wakaanguka kifudifudi na kusema: “Ee Mungu, Mungu wa roho za kila namna ya mwili,+ je, mtu mmoja tu atatenda dhambi nawe ulikasirikie kusanyiko lote?”+
7 Kisha mavumbi huirudia nchi+ kama yalivyokuwa, nayo roho+ yenyewe humrudia Mungu+ wa kweli aliyeitoa.+