Kumbukumbu la Torati 7:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+ Zaburi 79:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na sisi watu wako na kundi la malisho yako,+Tutakushukuru mpaka wakati usio na kipimo;Kutoka kizazi mpaka kizazi tutatangaza sifa yako.+
6 Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.+ Ni ninyi ambao Yehova Mungu amewachagua ninyi muwe watu wake, mali ya pekee, kutoka kati ya vikundi vyote vya watu vilivyo kwenye uso wa nchi.+
13 Na sisi watu wako na kundi la malisho yako,+Tutakushukuru mpaka wakati usio na kipimo;Kutoka kizazi mpaka kizazi tutatangaza sifa yako.+