Zaburi 103:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye hataendelea kutafuta makosa wakati wote,+Wala hataendelea kuweka kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+ Mika 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+
9 Yeye hataendelea kutafuta makosa wakati wote,+Wala hataendelea kuweka kinyongo mpaka wakati usio na kipimo.+
18 Ni nani aliye Mungu kama wewe,+ anayesamehe kosa na kuuachilia ukosaji+ wa mabaki ya urithi wake?+ Hatashikilia hasira yake milele, kwa maana yeye hupendezwa na fadhili zenye upendo.+