8 Nami nitawatakasa kutoka katika kosa lao lote ambalo kupitia hilo wamenitendea dhambi,+ nami nitayasamehe makosa yao yote ambayo kupitia hayo wamenitendea dhambi na ambayo kupitia hayo wamenikosea.+
20 “Na katika siku hizo na katika wakati huo,”+ asema Yehova, “kosa la Israeli litatafutwa,+ lakini halitakuwapo; na dhambi za Yuda,+ nazo hazitapatikana, kwa maana nitawasamehe wale nitakaowaacha wabaki.”+