Zaburi 10:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+ Methali 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana wavu hutandikwa pasipo kusudi mbele ya macho ya kiumbe chochote chenye mabawa.+ Habakuki 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Hao wote amewainua kwa ndoano tu;+ huwakokota katika wavu wake,+ naye huwakusanya katika wavu wake wa kuvulia. Hiyo ndiyo sababu anafurahi na kuwa na shangwe.+
9 Yeye anaendelea kuvizia katika mahali palipofichika kama simba mafichoni mwake.+Anaendelea kuvizia+ ili amchukue kwa nguvu mtu fulani mwenye kuteseka.Humchukua kwa nguvu mtu mwenye kuteseka anapouvuta pamoja wavu wake.+
15 Hao wote amewainua kwa ndoano tu;+ huwakokota katika wavu wake,+ naye huwakusanya katika wavu wake wa kuvulia. Hiyo ndiyo sababu anafurahi na kuwa na shangwe.+