Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Kwa maana miguu yake itamwingiza ndani ya wavu,

      Naye atatembea kwenye kamba za wavu.+

  • Zaburi 140:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Waliojiinua wenyewe wameficha mtego kwa ajili yangu;+

      Nao wamezitandika kamba kama wavu kando ya njia.+

      Wametega minaso kwa ajili yangu.+ Sela.

  • Yeremia 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “‘Kwa maana watu waovu wamepatikana kati ya watu wangu.+ Wanaendelea kukaza macho, kama wakati wawindaji wa ndege wanapochutama.+ Wameweka mtego wenye kuharibu. Wao wanawanasa watu.

  • Habakuki 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Hao wote amewainua kwa ndoano tu;+ huwakokota katika wavu wake,+ naye huwakusanya katika wavu wake wa kuvulia. Hiyo ndiyo sababu anafurahi na kuwa na shangwe.+

  • Yohana 10:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Mtu aliyekodiwa,+ ambaye si mchungaji na ambaye kondoo si wake, humwona mbwa-mwitu akija naye huwaacha kondoo na kukimbia​—⁠naye mbwa-mwitu huwanyakua na kuwatawanya+⁠—

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki