26 “‘Kwa maana watu waovu wamepatikana kati ya watu wangu.+ Wanaendelea kukaza macho, kama wakati wawindaji wa ndege wanapochutama.+ Wameweka mtego wenye kuharibu. Wao wanawanasa watu.
15 Hao wote amewainua kwa ndoano tu;+ huwakokota katika wavu wake,+ naye huwakusanya katika wavu wake wa kuvulia. Hiyo ndiyo sababu anafurahi na kuwa na shangwe.+
12 Mtu aliyekodiwa,+ ambaye si mchungaji na ambaye kondoo si wake, humwona mbwa-mwitu akija naye huwaacha kondoo na kukimbia—naye mbwa-mwitu huwanyakua na kuwatawanya+—