1 Wafalme 21:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+ Matendo 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Ndipo kwa siri wakashawishi watu kusema:+ “Tumemsikia akisema maneno ya makufuru+ juu ya Musa na Mungu.”
10 Nanyi mwaketishe watu wawili,+ watu wasiofaa kitu,+ mbele yake, nao watoe ushahidi juu yake,+ wakisema, ‘Umemlaani Mungu na mfalme!’+ Nanyi mtoeni nje na kumpiga kwa mawe ili afe.”+
11 Ndipo kwa siri wakashawishi watu kusema:+ “Tumemsikia akisema maneno ya makufuru+ juu ya Musa na Mungu.”