Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 20:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+

  • Kumbukumbu la Torati 5:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Wala usimshuhudie mwenzako uwongo.+

  • Methali 6:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+

  • Methali 24:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Usimshuhudie mwenzako pasipo msingi.+ Ndipo ungekuwa mpumbavu kwa midomo yako.+

  • Isaya 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Naye mtu asiye na msimamo, vyombo vyake ni vibaya;+ yeye ametoa shauri kwa ajili ya matendo ya mwenendo mpotovu,+ kuwavunja wenye kuteseka kwa maneno ya uwongo,+ hata maskini anaposema jambo lililo haki.

  • Matendo 6:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nao wakatokeza mashahidi wa uwongo,+ waliosema: “Mtu huyu haachi kusema mambo yasiyofaa juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya Sheria.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki