Kutoka 20:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Usishuhudie kwa uwongo ukiwa shahidi dhidi ya mwenzako.+ Kumbukumbu la Torati 5:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “‘Wala usimshuhudie mwenzako uwongo.+ Methali 6:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 shahidi wa uwongo anayesema uwongo,+ na yeyote anayetokeza magomvi kati ya ndugu.+ Methali 24:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Usimshuhudie mwenzako pasipo msingi.+ Ndipo ungekuwa mpumbavu kwa midomo yako.+ Isaya 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Naye mtu asiye na msimamo, vyombo vyake ni vibaya;+ yeye ametoa shauri kwa ajili ya matendo ya mwenendo mpotovu,+ kuwavunja wenye kuteseka kwa maneno ya uwongo,+ hata maskini anaposema jambo lililo haki. Matendo 6:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nao wakatokeza mashahidi wa uwongo,+ waliosema: “Mtu huyu haachi kusema mambo yasiyofaa juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya Sheria.+
7 Naye mtu asiye na msimamo, vyombo vyake ni vibaya;+ yeye ametoa shauri kwa ajili ya matendo ya mwenendo mpotovu,+ kuwavunja wenye kuteseka kwa maneno ya uwongo,+ hata maskini anaposema jambo lililo haki.
13 Nao wakatokeza mashahidi wa uwongo,+ waliosema: “Mtu huyu haachi kusema mambo yasiyofaa juu ya mahali hapa patakatifu na juu ya Sheria.+