Zaburi 10:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+ 2 Petro 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Zaidi ya hayo, wengi watafuata+ matendo yao ya mwenendo mpotovu,+ na kwa sababu ya hao ile njia ya kweli itatukanwa.+
7 Kinywa chake kimejaa viapo na udanganyifu na ukandamizaji.+Chini ya ulimi wake kuna taabu na mambo yenye kuumiza.+
2 Zaidi ya hayo, wengi watafuata+ matendo yao ya mwenendo mpotovu,+ na kwa sababu ya hao ile njia ya kweli itatukanwa.+