Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 22:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 “Usimlaani Mungu+ wala kumlaani mkuu kati ya watu wako.+

  • Mambo ya Walawi 24:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo lazima yule mtukanaji wa jina la Yehova auawe.+ Lazima kusanyiko lote limpige kwa mawe. Mkaaji mgeni hali kadhalika mwenyeji atauawa kwa kulitukana lile Jina.+

  • Mathayo 26:65
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 65 Ndipo kuhani mkuu akayararua mavazi yake ya nje, akisema: “Amekufuru!+ Tunahitaji mashahidi wengine wa nini?+ Tazama! Sasa mmelisikia kufuru.+

  • Matendo 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na Paulo akasema: “Akina ndugu, sikujua yeye ni kuhani mkuu. Kwa maana imeandikwa, ‘Usiseme vibaya juu ya mtawala wa watu wako.’ ”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki