Mathayo 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo tangu wakati huo na kuendelea akawa akitafuta nafasi nzuri ya kumsaliti.+ Mathayo 26:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa+ kumhusu, lakini ole+ wake mtu yule ambaye kupitia kwake Mwana wa binadamu atasalitiwa!+ Ingalikuwa afadhali kwake kama mtu huyo asingalizaliwa.” Marko 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+
24 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa+ kumhusu, lakini ole+ wake mtu yule ambaye kupitia kwake Mwana wa binadamu atasalitiwa!+ Ingalikuwa afadhali kwake kama mtu huyo asingalizaliwa.”
11 Waliposikia hilo, wakashangilia na kuahidi kumpa fedha.+ Kwa hiyo akaanza kutafuta jinsi ya kumsaliti kwa wakati unaofaa.+