21 Kwa kweli, Mwana wa binadamu anaenda zake, kama ilivyoandikwa kumhusu, lakini ole wake mtu yule ambaye kupitia kwake Mwana wa binadamu atasalitiwa! Ingalikuwa afadhali kama mtu huyo asingalizaliwa.”+
12 Nilipokuwa pamoja nao nilikuwa nikiwalinda+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa; nami nimewatunza, na hata mmoja wao hakuangamizwa+ ila yule mwana wa maangamizi,+ ili andiko lipate kutimizwa.+