Zaburi 41:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+ Zaburi 109:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Siku zake na ziwe chache;+Cheo chake cha uangalizi mtu mwingine na akichukue.+ Matendo 1:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yawe na ukiwa, na pasiwe na mkaaji humo,’+ na, ‘Cheo chake cha uangalizi mtu mwingine na akichukue.’+
9 Pia mtu mwenye kuwa na amani nami, ambaye nimemtegemea,+Ambaye alikuwa akila mkate wangu,+ amekiinua kisigino chake dhidi yangu.+
20 Kwa maana imeandikwa katika kitabu cha Zaburi, ‘Makao yake yawe na ukiwa, na pasiwe na mkaaji humo,’+ na, ‘Cheo chake cha uangalizi mtu mwingine na akichukue.’+