Zaburi 55:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+ Zaburi 69:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kambi yao iliyozungushiwa ukuta na iwe ukiwa;+Na kusiwe na mkaaji katika mahema yao.+ Mathayo 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akatupa vile vipande vya fedha hekaluni akaondoka, akaenda zake akajinyonga.+ Matendo 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 (Kwa hiyo, mtu huyo alinunua+ shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza+ akapasuka kwa kelele katikati na matumbo yake yote yakamwagika nje.
23 Lakini wewe mwenyewe, Ee Mungu, utawashusha mpaka kwenye shimo lililo chini kabisa.+Nao watu wenye hatia ya damu na wadanganyifu, hawataishi nusu ya siku zao.+Lakini mimi, nitakutegemea wewe.+
18 (Kwa hiyo, mtu huyo alinunua+ shamba kwa mshahara wa ukosefu wa uadilifu,+ akaanguka kichwa kwanza+ akapasuka kwa kelele katikati na matumbo yake yote yakamwagika nje.